Blogs

Kumbe Nadir Haroub Canavaro yupo huru...

WACHEZAJI Mussa Hassani ‘Mgosi’ wa Simba na Nadir Haroub ‘Cannavaro’ wa Yanga ni miongoni mwa wachezaji 38

wa Simba na Yanga ambao wapo huru kwa kuwa wamemaliza mikataba yao inayotambuliwa na Shirikisho la Soka Tanzania (TFF).

Ofisa Habari wa TFF Florian Kaijage jana alitangaza orodha ya wachezaji 155 wa timu mbalimbali ambao ama wametemwa au wamemaliza mikataba yao katika klabu tisa kati ya 12 zitakazoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara msimu ujao.

Syndicate content