Kuelekea mchezo wa Simba na Azam FC, Mechi kuchezwa Mkwakwani

 

Zikiwa zimesalia siku 11 kabla ya mchezo wa pili wa ligi kuu kati ya Azam FC na Simba SC zote za Dar es Salaam, utakaochezwa katika uwanja wa Mkwakwani mkoani Tanga, timu zote zipo katika maandalizi ya hali ya juu.

 

Mchezo huo utachezwa katika uwanja huo kutokana na matayarisho katika uwanja wa Uhuru, TFF imezitaka timu zote zilizotumia uwanja wa Uhuru kama uwanja wa nyumbani kutafuta viwanja vingine vilivyopo nchini.

 

Tags: 

Taifa Stars yaagwa kwa safari ya Algeria

 

Timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeshauriwa kuweka uzalendo mbele wakati watakapokuwa mchezoni dhidi ya Aljeria, hayo yalisemwa jana na Naibu Waziri wa Habari, Utamaduni na Michezo, Joel Bendera.

 

Bendera Alisema Watanzania wanataka ushindi dhidi ya Algeria ambayo ni timu ngumu kwenye mchezo wa Ijumaa  ambao utakuwa wa kwanza wa Kundi D la kusaka tiketi ya kushiriki fainali za Afrika mwaka 2012.

 

Tags: 

Seven Azam FC players included in Poulsen's squad

NATIONAL team coach Jan Poulsen has retained injured Simba custodian, Juma Kaseja but has excluded Young African player Kigi Makasi from next month's 2012 Africa Cup of Nations qualifier away to Algeria. 



According to the Daily News Report; Poulsen announced a 26-man squad for the September 3 match against Algeria here on Sunday, with Makasi, the only star who has apparently been left out in the latest sailing of the national team boat. 


Tags: 

Big shots shine as new comers tumble

<br />

Three top teams from last season, Simba, Young Africans and Azam kicked off the Vodacom Premiership title chase on high as they registered wins in the opening day of the league.

For the three newly promoted teams, Police Dodoma, Arusha FC and Ruvu Shooting received a warning note after losing their openers.

Tags: 

Azam eyes Vodacom Premier League title

<br />

 

Azam FC registration has given the team’s head coach, Itamar Amorim hopes to emerge victors in the coming Mainland Vodacom Premier League.

Tags: 

Azam FC yatua Arusha salama

 

Kikosi cha wachezaji 22 wa Azam FC wamewasili mkoani Arusha tayari kwa kucheza mechi yake ya kwanza ya ligi kuu dhidi ya AFC katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid siku ya Jumamosi.

 

Tags: 

Azam FC yalala kwa Mtibwa katika mechi ya majaribio

 

Azam FC leo imepoteza mechi yake ya kirafiki kwa kuruhusu kufungwa 3-2 na Mtibwa Sugar katika Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Katika mechi hiyo Azam FC ilionesha upinzani mkali katika kipindi cha kwanza timu zote zilitoshana nguvu kwani hadi kufikia mapumziko kulikuwa hakuna timu iliyoweza kuona goli la mwenzake.

Mchezaji wa Azam FC, Kally Ongala aliweza kukonga nyoyo za mashabiki wa Azam kwa kucheza katika kiwango cha juu na kuonyesha uwezo wake.

Tags: 

Ngasa aiokoa Stars, afunga goli la kusawazisha

 

Goli la kusawazisha la mchezaji Mrisho Ngassa wa Timu ya Taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' limeipeleka timu hiyo katika sare ya 1-1 na timu ya taifa ya Kenya 'Harambee Stars' katika mchezo wa kirafiki uliochezwa Uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam leo.

Tags: 

Azam FC kujipima kwa Mtibwa Sugar, Kuelekea Arusha Jumanne

Ikiwa ni siku nne zimepita tangu Azam FC irejee kutoka visiwani Zanzibar ilipoweka kambi ya wiki, siku ya Jumapili inatarajia kucheza mchezo wake wa mwisho wa majaribio dhidi ya timu ya Mtibwa Sugar utakaochezwa katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam.

Azam FC ilipokuwa visiwani Zanzibar imecheza mechi tatu za kirafiki ikifunga mechi moja dhidi ya mabingwa wa Zanzibar, Zanzibar Ocean view 2-1, ikatoka sare mechi mbili za JKT Ruvu na Simba SC.

Tags: 

Azam Fc yamaliza ziara Zanzibar kwa ushindi

GOLI lililofungwa na Peter Ssenyonjo katika kipindi cha pili lilitosha kuipa ushindi timu ya Azam FC ambayo ilikuwepo kisiwani hapa kwa takribani wiki mbili ikijiandaa na ligi kuu ya Tanzania Bara maarufu kama Vodacom Premier League

Azam FC ambayo jana iliwakosa wachezaji wake takribani kumi kutokana na kuwa na timu za taifa za Ngorongoro Heroes na Taifa Stars ilicheza mchezo mzuri na wa kuvutia sana hapo jana.

Tags: