Azam Academy yaanza kwa kishindo Rolling Stone nchini Burundi
Submitted by ppkahemele on Mon, 2012-07-09 09:48
Azam Academy imeanza vizuri mashindano ya Rolling Stone baada ya kuisasambua timu ya Nyirakongo ya DRC 3-0,
Magoli yamefungwa na Kimwaga (2) Mudathir (1) katika mchezo ambao Azam Academy waliutawala mchezo muda wote
Timu iliyoanza jana ni Aishi, Mgaya,Shabalala,Dizana,Mkomola, Reyna, Mudathiri,Kaijage,Machupa, Kelvin and Kimwaga.
Tags:

